iqna

IQNA

siku kuu
TEHRAN (IQNA)- Kwa mnasaba wa kuwadi siku kuu ya Idul Ghadir, kumefanyika sherehe ya kupandisha bendera ya Ghadir katika Haram ya Imam Ali (AS).
Habari ID: 3475507    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/15

Idi
TEHRAN (IQNA)- Mwaka huu kulijitokeza hitilafu katika baadhi ya nchi za Kiarabu na Kiislamu kuhusu siku kuu ya Idul Fitr lakini inaelekea kuwa kutakuwa na hitilafu katika kuanisha siku kuu ya Idul Adha.
Habari ID: 3475433    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/27

TEHRAN (IQNA) – Siku kuu ya Idul Fitr ni kati ya siku kuu muhimu zaidi katika ulimwengu wa Kiislamu na kawaida huwa siku ya mapumziko. Mwaka huu katika aghalabu ya nchi za Kiislamu kumekuwa na hali maalumu ya tahadhari wakati wa Idi ili kuzuia kuenea ugonjwa wa corona.
Habari ID: 3472799    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/25